Search
Now showing items 1-3 of 3
Uyahe na Raghba ya Jinsia kama Mikakati ya Propaganda Uchunguzi Kifani wa Mdahalo wa Urais wa Kenya, 2013
(2022)
Lengo la kazi hii ni kutathmini matumizi ya uyakhe na raghba ya jinsia kama mikakati ya
propaganda katika mdahalo wa urais wa 2013. Wanasiasa hutumia mbinu anuwai kuelekeza
uelewa wa suala la kisiasa. Mara nyingi, mbinu ...
Fear Mongering and Appeal to the Name of God as Propaganda Techniques in the Kenyan 2013 Presidential Debate
(2018-11)
Politicians use different types of language to control and direct the way the electorate perceive political
issues. The most commonly used is propaganda techniques. This work examined two techniques, Fear mongering
and ...
Ubandikaji Majina na Majumlishi Memeto kama Mikakati ya Propaganda Katika Mdahalo wa Urais wa Kenya 2013
(2018-12)
Wanasiasa hutumia mbinu anuai kuelekeza uelewa wa suala la kisiasa; mikakati ya propaganda
haswa ndiyo hutumika zaidi katika kampeni za kisiasa miongoni mwa wanadamu wote ulimwenguni.
Shida kubwa ni kama jamii ya kistarabu ...